Job Vacancies ...timiza ndoto zako!
1. Nafasi za Kazi Zanzibar University
ZANZIBAR UNIVERSITY VACANCIES ANNOUNCEMENT Applications are invited for the posts of matron and minutes writer to work for Zanzibar University which is situated at Kibele area.PLEASE DOWNLOAD PDF FILE FOR MORE INFORMATION....Chanzo: ZU
Tarehe ya kutolewa: 2017-06-19
Mahali pa kazi/tukio: Kibele Zanzibar Imetembelewa mara 3817...Deadline: 2017-06-30 00:00:002. Tangazo Nafasi za Kazi Shirika la Viwango Tanzania 2017-06-15
TANGAZO NAFASI ZA KAZI SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA 2017-06-15 Tanzania Bureau of Standards (TBS) is Tanzania’s sole Standards body, formerly established by the Standards Act No. 3 of 1975, which was repealed and replaced by the Standards Act No. 2 of 2009. It is a Parastatal Organization....Chanzo: TBS website
Tarehe ya kutolewa: 2017-06-15
Mahali pa kazi/tukio: Dar es Salaam Imetembelewa mara 3693...Deadline: 2017-06-28 00:00:003. Tangazo la usaili ofisi ya raisi tawala za mikoa serikali za mitaa na idara maalum za smz
TANGAZO LA USAILI OFISI YA RAISI TAWALA ZA MIKOA SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ZA SMZ Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi ya kazi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ kufika Ofisi ya Baraza la Manispaa Magharibi....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-06-06
Mahali pa kazi/tukio: Mombasa Zanzibar Imetembelewa mara 7495...Deadline: 2017-06-08 00:00:004. Tangazo la usaili kwa wizara ya afya
TANGAZO LA USAILI KWA WIZARA YA AFYA Tume ya Utumishi Serikalini inawatangazia vijana ambao wameomba nafasi za kazi katika Wizara ya Afya Unguja kwa kada mbali mbali kufika katika usaili utakaofanyika kwa utaratibu ufuatao:- a) Siku ya Jumatano ya tarehe 07 Juni, 2017. Usaili utafanyika katika....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-06-05
Mahali pa kazi/tukio: Imetembelewa mara 7395...Deadline: 2017-06-09 00:00:005. Nafasi za kazi kwa wizara ya kazi uwezeshaji wazee vijana wanawake na watoto
NAFASI ZA KAZI KWA WIZARA YA KAZI UWEZESHAJI WAZEE VIJANA WANAWAKE NA WATOTO Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto kama ifuatavyo:- 1. Afisa Ustawi wa Jamii Daraja la II “Nafasi 2” Sifa za....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-06-03
Mahali pa kazi/tukio: Imetembelewa mara 15466...Deadline: 2017-06-07 00:00:006. Tangazo la nafasi za kazi kwa ofisi ya rais tawala za mikoa serikali za mitaa na idara maalum za smz
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ZA SMZ Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ - Pemba kama ifuatavyo:- I. NAFASI ZA KAZI ZA....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-06-03
Mahali pa kazi/tukio: Unguja na Pemba Imetembelewa mara 15955...Deadline: 2017-06-07 00:00:007. Nafasi za kazi kwa wizara ya fedha na mipango zanzibar
NAFASI ZA KAZI KWA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO ZANZIBAR Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi kwa ajili ya Wizara ya Fedha na Mipango Unguja na Pemba kama ifuatavyo:- NAFASI ZA UNGUJA IDARA YA MUHASIBU MKUU WA SERIKALI: 1. Muhasibu Daraja la II “Nafasi 6” - Unguja Sifa....Chanzo: Utumishi Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-06-03
Mahali pa kazi/tukio: Unguja na Pemba Imetembelewa mara 9934...Deadline: 2017-06-07 00:00:008. VETA job Vacancies
VOCATIONAL EDUCATION AND TRAINING AUTHORITY The Vocational Education and Training Authority (VETA) is an autonomous Government Agency established by the Act of Parliament No. 1 of 1994. VETA is responsible for regulating, coordinating, financing and providing Vocational Education and Training in....Chanzo: VETA
Tarehe ya kutolewa: 2017-06-01
Mahali pa kazi/tukio: Dar es salaam Imetembelewa mara 6284...Deadline: 2017-06-14 00:00:009. Nafasi za Kazi EWURA
The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) is an independent, world class regulatory authority responsible for licensing, tariff setting and quality of service regulation of the electricity, water, petroleum and natural gas sectors. EWURA has the following vacancies for which....Chanzo: EWURA Website
Tarehe ya kutolewa: 2017-05-22
Mahali pa kazi/tukio: Ewura head quaters Imetembelewa mara 3367...Deadline: 2017-05-31 00:00:0010. Nafasi za kazi Wizara ya Elimu Zanzibar
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Skuli za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Unguja na Pemba kama ifuatavyo:- 1. Walimu wa Skuli za Maandalizi: WILAYA ZA UNGUJA WILAYA NAFASI KASKAZINI ‘A’ 15 KASKAZINI ‘B’ 6 MAGHARIBI ‘A’ 4 MAGHARIBI....Chanzo: Ministry of education Zanzibar
Tarehe ya kutolewa: 2017-05-22
Mahali pa kazi/tukio: Unguja/Pemba Imetembelewa mara 8603...Deadline: 2017-05-26 00:00:00Job Vacancies
Zilizofanyiwa promo
TAM Review (Zanzibar Form two Mathematics Review 2007-2020
Imeangaliwa
2024-05-16 12:36:39